Victim photo

Michael Anthony Mnkai

Hali: Hajulikani Alipo Umri:

Wasifu:

Alipoonekana mwisho: Dar es Salaam

10/29/2025 Alipigwa risasi na polisi na mwili wake ulionekana na familia zahanati ya Kigogo magenge ila baada ya hapo familia haijapata tena mwili. Wameamua kufanya misa ya kumwombea