Victim photo

Isaac Charles

Hali: Hajulikani Alipo Umri:

Wasifu:

Alipoonekana mwisho: Dar es Salaam

10/31/2025 Aliondoka maeneo ya Ununio akiwa na pikipiki yake ya Sanlang Neykundu. Hapakuwa na kituo cha mafuta kilichokuwa wazi hivyo aliondoka akisukuma tu kwamba atapata mbele ya safari na alipitia Bagamoyo Road kuelekea Tanga.