Leonard Evarist Gulimo
Wasifu:
Leonard alikuwa mpole na mwenye tabasamu la upendo. Nilimsomesha na alikuwa mtu wa shukrani. Mungu awashughulikie wauaji wake pamoja na Athanas, na wawili rafiki zake!
Alipoonekana mwisho: Mwanza
Aliuwawa nyumbani Kisesa kwa bibi yake Nyamagenda tarehe 29.10.2015. Tumemzika Bujora!