Petro Lusendamila
Wasifu:
Alienda kusimamia uchaguzi hapa mbeya katika zile vurugu alipigwa risasi na polisi ,mwili wake ulipelekwa hospital ya mkoa mbeya ,Kisha baadae ndugu zake walichukua mwili kusafirisha kwao Geita
Alipoonekana mwisho: Mbeya
—