Victim photo

Maiko Masonganya

Hali: Aliuwawa Umri: 23

Wasifu:

Marehem akumbukwe kwa ucheshi, upole…hakua na shida na mtu yoyote. Alikuwa mtu wa watu.

Alipoonekana mwisho: Dar es Salaam

Alikutwa ameuwawa kwa kupigwa risasi jijini Dar tarehe 29 0ctober 2025