Victim photo

David Julius

Hali: Hajulikani Alipo Umri:

Wasifu:

Alipoonekana mwisho: Mwanza

10/31/2025 Familia ilimwona mara ya mwisho tarehe 31 Ocotber na walimtafuta kila mahali hadi walipoona video ya miili ya Sekou Toure ila kila walipoenda kuulizia mwili walitishiwa na hawajapata tena mwili wake