Victim photo

Kelvin Asenga

Hali: Aliuwawa Umri: 24

Wasifu:

Tumeendelea kudai mwili wa mpendwa wetu tunaambiwa hayupo motuari na bado hatuji tufanyajee

Alipoonekana mwisho: Arusha

Alisema anaenda kupambania haki yake.