Victim photo

Jackson Kereto Birikaa

Hali: Aliuwawa Umri: 26

Wasifu:

Jackson Kereto Birikaa, ni kijana kutoka kitongoji cha Esirwa, Kijiji cha Endulen, Kata ya Endulen, Tarafa ya Ngorongoro, Wilaya ya Ngorongoro. Aliuliwa Jijini Mwanza akiwa kwenye shughuli ya kuuza viatu (Machinga). Aliuwawa na Polisi tarehe 29/10/2025. Wenzake wawili walijeruhiwa Kwa risasi

Alipoonekana mwisho: Mwanza

Aliuwawa na Polisi, mwili imepatikana kwani alikuwa na marafiki zake ambao wawili kati yao walijeruhiwa kwa risasi