Victim photo

Amatus Markato Masumira

Hali: Aliuwawa Umri: 35

Wasifu:

Dereva bajaji

Alipoonekana mwisho: Dar es Salaam

Alikuwa Dereva wa Bajaji Tabata Liwiti. Alipigwa Risasi wakati yupo kwenye Benchi katulia. Risasi ilimfuata pale na kumpiga kifuani upande wa moyo.