Victim photo

Evelius Rwezaula

Hali: Hajulikani Alipo Umri: 23

Wasifu:

Alihitimu kidato chá sita akajiunga jkt alienda dar kujishughukisha akitokea kwao mkoaKagera wilaya Muleba kata Muhutwe kijiji Kangantebe,,na Sasa tumeshamaliza msiba bila mwili,,ikumbukwe kijj Kangantebe VJANA waliokufa ni wa3 wote walifia dar Tarehe 30 oct

Alipoonekana mwisho: Dar es Salaam

Aliuawa na tumezika hewa bila mwili