Victim photo

Saimoni Wa Lushoto

Hali: Aliuwawa Umri: 30

Wasifu:

Alipoonekana mwisho: Dar es Salaam

Alipigwa risasi akafariki na akapelekwa hospitali na baada ya hapo hakuonekana tena baada ya ndugu kwenda hospital kuchukua mwili kwa ajili mazishi yake