Victim photo

Alpha Omega Thomas Kambo

Hali: Aliuwawa Umri: 24

Wasifu:

Alipoonekana mwisho: Dar es Salaam

Alipigwa picha akiwa kwenye dimbwi la damu maeneo ya kinondoni mkwajuni na ikasemwa alipelekwa mwananyamala hospital na hakupatikana wodini wala mochuari ya mwananyamala, muhimbili , amana nk