Victim photo

Elia Kimaro

Hali: Aliuwawa Umri: 42

Wasifu:

Alikua mtu mpole, mwenye upendo sana na mchakato

Alipoonekana mwisho: Arusha

Alikua akitoka stendi ya mabasi Arusha kuchukua mzigo wake, wakati anarudi alipigwa risasi na Askari polisi wa jeshi la Tanzania