Victim photo

Anold Amanyisye

Hali: Aliuwawa Umri: 30

Wasifu:

Azam Journalist

Alipoonekana mwisho: Mbeya

Alipigwa risasi Mwanjelwa Mbeya tarehe 29 na maiti kupatikana tarehe 30 hospital ya mkoa wa Mbeya. Maiti hiyo ilipelekwa pale na rafiki zake ndiyo bahati ilipatikana, na tulizika tarehe 6/11/2025 nyumbani kwao Ihowa Mbozi