Victim photo

Joshua Xx

Hali: Hajulikani Alipo Umri:

Wasifu:

Alipoonekana mwisho: Geita

mbogwe 10/29/2025 Alipigwa risasi akiwa kwenye maandamano ya amani ya kudai haki nchini tanzania juu ya kudai katiba mpya tume huru ya uchanguzi na ukandamizaji wa haki za kibinadamu hasa watu kupotea ovyo bila taarifa rasimi kutoka kwenye vyombo vya ulinzi Hajapatikana