Victim photo

James Xx

Hali: Hajulikani Alipo Umri:

Wasifu:

Alipoonekana mwisho: Dar es Salaam

Kigamboni 10/29/2025 Alikuwa kweny maandamano ya amani ila alivokwenda hakuludi hata ivo uko walikuwa wanauliwa bila sababu polis wanatumia silaha za moto kwa raia wasio na silaha yoyote si haki