Albert Kamala
Wasifu:
He was a father with a Son ,two daughters and well respected by the community.Farewell Uncle Albert.
Alikuwa Baba mweny mtoto mmoja wa kiume na binti wawili. Alipendwa sana na kuheshimiwa katika jamii yake/ Kwa heri Anko Albert
Alipoonekana mwisho: Kilimanjaro
Alikwepo Pasua. Boma ya Mbuzi Moshi. Alikwepo kwenye mgahawa. Watu wasiojulikana wakamteka na kupiga sana. Mwili wake ulipatikana Holili.