Victim photo

Kelvin Kabogo

Hali: Aliuwawa Umri: 21

Wasifu:

Mchezaji mpira nafasi ya golikipa, amecheza timu za iringa mjini ikiwemo Kihesa Fc

Alipoonekana mwisho: Dar es Salaam

Mwili wake ulionekana barabarani, ila haukupatikana popote tena