Victim photo

Juma Ndakidemi

Hali: Aliuwawa Umri: 25

Wasifu:

Ndugu yangu alikuwa kwenye eneo lake la biashara na alipigwa risasi na kuuwawa

Alipoonekana mwisho: Dar es Salaam

Tulimpeleka Hopsitali na kuhifadhi mwili lakini mwili ule hatukupewa na tukaambiwa hakuna mwili wake hospitali pale