Victim photo

Chrisostom Mpinda

Hali: Aliuwawa Umri: 46

Wasifu:

Alikuwa mrefu,mweupe akipenda kuvalia kofia

Alipoonekana mwisho: Dar es Salaam

Aliuliwa nje ya duka lake akiwa anafunga na mwili wake kupelekwa hospitali kuhifadhiwa,tangu hapo mwili wake haukupatikana tumezika nguo zake.