Victim photo

Dogo Bunju

Hali: Aliuwawa Umri: 23

Wasifu:

Tumuenzi Kwa siku maalum ya oktoba 29 Kila mwaka,kijana alikuwa mcheshi na mpambanaji sana R.I.P BUNJU🙏

Alipoonekana mwisho: Mbeya

Aliuawa Kwa kupigwa risasi wilayani kyela,mkoa wa mbeya siku ya tarehe 30,ameacha familia.