Victim photo

Taji Nyosha

Hali: Aliuwawa Umri: 28

Wasifu:

Alikuwa kijana mchapakazi aliyekuwa anajihusisha na biashara ya kuuza duka la bidhaa alipigwa risasi alipokuwa akifunga duka lake ili arudi nyumbani

Alipoonekana mwisho: Mwanza

Aliuwawa kwa kupigwa risasi