Victim photo

Fred Juma Mali

Hali: Aliuwawa Umri: 33

Wasifu:

Alipoonekana mwisho: Geita

Aliuwawa kwa kupigwa risasi na polisi akiwa kituo cha bus akisubiri usafiri kwenda kazini maeneo ya Twiga (Mashapale) karibu na Round About barabara ya Nyankumbu, Geita Mjini.