Victim photo

Alute Augustino

Hali: Hajulikani Alipo Umri: 38

Wasifu:

Alikuwa mfupi kawaida, Mwenye rangi ya maji ya kunde,Mnyaturu/Mrimi kutoka mkoa wa Singida ,Mcheshi,Mjasiriamali na mpigania haki kwa mambo yote yaliyo kinyume na utaratibu.

Alipoonekana mwisho: Dar es Salaam

Alipigwa risasi Kariakoo tarehe 29 October 2025 na sisi kama ndugu hatupata nafasi ya kumzika kwani hatupata mwili wake hadi leo