Victim photo

Stephano Joshua

Hali: Aliuwawa Umri: 24

Wasifu:

Mcheshi nashabiki mkubwa sana wa Simba na Man United

Alipoonekana mwisho: Arusha

Aliuwawa kwa kukanyagwa kanyagwa na gari la polisi siku ya maandamano tarehe 29/10/2025. Tukio hilo lilitokea maeneo ya kibaoni Ngaramtoni, Arusha.