Victim photo

Elieta Pendaeli Akyoo

Hali: Aliuwawa Umri: 24

Wasifu:

Alikuwa amehitimu chuo cha TIA-Mbeya kozi ya Uasibu ngazi ya shahada, alikuwa mpole mnyenyekevu, ni mzaliwa wa mkoani Aruaha, wilaya ya Meru

Alipoonekana mwisho: Mbeya

Alipigwa Risasi mkoani Mbeya