Victim photo

Benjamini Ramadhani

Hali: Aliuwawa Umri: 24

Wasifu:

Alikua mtu wa watu aliye eshimu na kuongea na watu wa rika zote

Alipoonekana mwisho: Mwanza

Aliuaawa mkoani mwanza, mwili wake ulipatikana na mazishi yakafanyika tabora tarehe 4 katika makaburi ya miogoni