Victim photo

Chuga Boy

Hali: Aliuwawa Umri: 26

Wasifu:

mchapakazi na mwenye uchungu na taifa lake Tanzania

Alipoonekana mwisho: Dar es Salaam

alipigwa risasi akauliwa na mwili wake ukapelekwa hospitali ya Mwananyamala na video ya mortuary ya mwananyamala ilipovuja mwili wake ulionekana hapo,lakini wizara ya Afya Tanzania ilikanusha kuwa video ya mortuary ya mwananyamala ilikuwa fake