Victim photo

Titho Philemon Dyakiye

Hali: Hajulikani Alipo Umri: 25

Wasifu:

Mhitimu wa Chuo cha SAUT Mwanza, Shahada ya Sheria, Mwanaharakati wa kupigania Haki, alipenda kusimamia ukweli.

Alipoonekana mwisho: Kigoma

Taarifa ya Mwisho inaonekana alitekwa na watu waliojitambulisha ni Askari Polisi punde baada ya Maandamano akiwa Mkoani Kigoma. Mpaka sasa hajulikani alipo.