Victim photo

Dementria Shayo

Hali: Aliuwawa Umri: 58

Wasifu:

Mama alikuwa mtu mcheshi, mchangamfu na mwenye upendo mkubwa kwa kila mtu. Ameacha watoto wawili ambao wataendelea kumuenzi kupitia maisha yao na matendo mema. Atakumbukwa daima kwa tabasamu lake, ukarimu wake na moyo wake wa huruma.

Alipoonekana mwisho: Arusha

Alipigwa risasi akiwa eneo la biashara yake.