Victim photo

Clara Xx

Hali: Aliuwawa Umri:

Wasifu:

Alipoonekana mwisho: Dar es Salaam

10/29/2025 Kwenye Maandamano ya kudai Haki ndipo alipopigwa risasi na Jeshi la Polisi bila hatia yoyote. Aalipelekwa Bochi Hospitali ambapo alipoteza uhai njiani akiwa anapelekwa hospitali ili kuokoa maisha yake