Victim photo

Abduli Ramadhani

Hali: Hajulikani Alipo Umri:

Wasifu:

Alipoonekana mwisho: Dar es Salaam

10/31/2025 Kulikuwa na maandamano ya mahani yeye alikuwa kalibu na maeno ya kwao police wakapiga risasi. Police wamechukuwa mwili wake na kwenda nao mahali pasipo julikana