Victim photo

Regani Munishi

Hali: Aliuwawa Umri:

Wasifu:

Alipoonekana mwisho: Dar es Salaam

Tegeta 10/31/2025 Alikuwa akipata kifungua kinywa asubuhi ndio akapigwa risasi ya bega ,ndio akapelekwa hospitali mpaka mauti ikampata katika hospitali ya Mwananyamala