Victim photo

Yacob Andrea Mbuji

Hali: Hajulikani Alipo Umri:

Wasifu:

Alipoonekana mwisho: Dar es Salaam

Ubungo, Msewe 10/29/2025 Alikuwa Amebaki nyumbani kupisha maandamano lakini jeshi la polisi lilikuja kumbeba na kumpeleka kusipojulikana. Ndugu walimtafuta kote awakumpata