Victim photo

Josephine Aron Saimon

Hali: Alijeruhiwa Umri:

Wasifu:

Alipoonekana mwisho: Dar es Salaam

10/29/2025 Alipigwa Risasi ya mgongo wakati police wanapambana na wandamanaji akadondoka familia ilipojaribu kuufatilia mwili hawajapata hadi sasa. Walimtafuta hospitali na mochwari zote za jiji la Dar es salaam