Victim photo

Hassan Majid

Hali: Hajulikani Alipo Umri:

Wasifu:

Alipoonekana mwisho: Dar es Salaam

Alisimamishwa na polisi simu yake ikachukuliwa na simu yake kukaguliwa wakasema ina picha za maandamano. Hajawahi kurudi na hajulikani alipo hadi leo