Victim photo

Maiko Joseph Kulwa

Hali: Aliuwawa Umri:

Wasifu:

Alipoonekana mwisho: Pwani

Mapinga-Bagamoyo 10/29/2025 Alikuwa kwenye Bajaji alivyofika Basiaya waliamriwa na askari kushuka kwenye Bajaji na Baadye wakawashoot.Tulichukua Mwili wake Kelege Hospial nakuuzika hapa mapinga