Victim photo

Christina John

Hali: Hajulikani Alipo Umri:

Wasifu:

Alipoonekana mwisho: Dar es Salaam

10/28/2025 Ilikuwa tareh 29th wananchi tulikuwa na maandamano ya Amani katika inchi yetu ili kuwatetea walio tekwa na walio uawa katika inchi yetu... baad ya apo police walianz kupiga risasi na kuuwa watu bila sababu ya msingi na wengine wameuawa ata wakiwa majumban mwao watu weng san wamekufa