Victim photo

James Mbwambo

Hali: Hajulikani Alipo Umri:

Wasifu:

Alipoonekana mwisho: Dar es Salaam

10/29/2025 Ni mwuuza simu alipigwa risasi tarehe 29 mchana na mwili wake haujapatikana. Ila kwenye video ya miili iliyokuwa imehifadhiwa Mwananyamala alionekana na nguo zake. Hadi sasa mwili wake haujapatikana